KITABU KWANZA
Monday, June 23, 2014
Tuesday, June 17, 2014
Thursday, July 12, 2012
KIPAJI NI LAZIMA KUANDALIWA NA KUENDELEZWA
Wakati takirbani kwa kila familia mbili kati ya kumi za kiafrika hususani kutoka jamii za vijijini zikikishindwa kufikia malengo ya kukuza vipawa,vipaji vya wanao kwa mabara kama Marekani,Ulaya na Asia tayari kuna mikakati thabiti ikitekelezwa.Baadhi ya mikakati inahusisha kuanziswa kwa shule za sanaa na vipaji ukiachilia mbali kampeni za kuhamasisha vipaji chipukizi zinazopambwa moto na vyombo yya habari.Jitihada zao zinafuatiwa na matunda bora yanayodhirihika sio tu kwenye tasinia ya muziki,filamu,kandanda,bali pia hata siasa.
USAFIRI KUZIDI KARAHA
Usafiri ni kitu muhimu kwa maana ya kutoka sehemu moja na kuelekea nyingine,kwa miji mikubwa kama Dar er salaam na Mwanza usafiri hupoteza umuhimu na kuwa karaha pale tu idadi ya watu inapoelemea vyombo vya usafiri.Moja ya vyombo hivyo ni ''daradara'' au ''express''.Kwani madirisha badala ya matumizi ya kuingiza hewa huzidisha matumizi hadi kuingiza watu wakati huo huo mlangoni kukiwa hakupitiki tena kwa sababu tu kila mmjo angombea mlango huo.
Saturday, April 14, 2012
TAMBUA MWANZO NA KIKOMO CHA UELEWA
Kufunza ni mchakato unohusisha kutoa maarifa na ujuzi kwa mfumo wa maelekezo unaombatana na vitendo au nadharia.Na kuelewa ni hatua ya kubadili tabia,mtazamo na kuongeza upeo katika kufikiri chanya.Lakini kama ilivyo katika kufundisha na kueelewa pia hutegemea zaidi mazingira ,mitazomo,,uepesi katika kuelewa maada nk.
Hapa tutaangalia zaidi swala la uepesi wa kuelewa maada''topic'',Kimsingi uelewa wa binadamu umegawanyika katika vipengele vikuu vitatu,ambavyo navyo ni, moja wale wenyekuelewa upesi sana kabla na baada ya kufundiswa''first learner'',pili ni kundi la wale wenye uelewa wa kati(kadri) baada ya kufundishwa''slow learner'',na mwisho ni kundi la watu wenye kuelewa taratibu sana''lagged behind''
Subscribe to:
Posts (Atom)



